Akizungumza na wanahabari, kocha mkuu wa timu ya Tanzania Boniace Pawasa amesema watayatumia mashindano hayo kama sehemu ya maandalizi kuelekea fainali za AFCON kwa soka la ufukweni zitakazofanyika Disemba 8 hadi 14 mwaka huu nchini Misri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |