Mechi ya kwanza, Mali ilianza vibaya baada ya kufungwa na Cameroon mabao 2-1. Hata hivyo, Cameroon itandeleza ushindi katika mechi ya kundi A baada ya kushinda Algeria mabao 3-0.
Kwa matokeo haya, Cameroon wanaongoza kundi hilo kwa alama sita, Mali ni ya pili kwa alama tatu sawa na Ghana, huku Algeria ikiwa ya mwisho bila alama.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |