Mabingwa hao wa ligi kuu ya Uhispania, wametakiwa kukaa miaka 3 bila kusajili nyota yeyote wa Liverpool.
Kwa mujibu wa makubaliano ya klabu hizo, Barcelona haitasajili mchezaji wa Liverpool hadi mwaka 2021. Taarifa hiyo imetolewa wakati mshambuliaji nyota wa Liverpool Mo Salah akihusishwa na mpango wa kujiunga na Barca katikia usajili wa dirisha dogo Januari mwakani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |