mambo yanaendelea kuwa mabaya kwa Equitorial Guinea ambao walipoteza mechi yake ya pili baada ya Afrika Kusini kupata karamu ya mabao 7-1.
Baada ya matokeo hayo, Afrika Kusini inaongoza kundi la B, kwa alama 6, huku Nigeria na Zambia zikiwa na alama tatu.
Leo Ijumaa kutakuwa na michuano ya kumaliza kundi A, Cameroon watachuana na Ghana, huku Algeria wakicheza na Mali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |