Tanzania imeshika nafasi ya tatu baada ya kupata pointi 1,125 huku ikishuhudia wenyeji Sudan ikitawazwa kuwa bingwa mpya wa taji hilo baada ya kuvuna pointi 1,548 ikifuatiwa na Afrika kusini ambayo imetwaa pointi 1,248.
Tanzania iliyokuwa bingwa misimu miwili mfululizo tangu mwaka 2016 imeshindwa kutetea ubingwa huo baada ya kuwa na idadi ndogo ya waogeleaji wa kike.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |