Serikali itatumia sh bilioni 9 ili kulipa wamiliki wa kampun tatu za umeme za dizeli ili kujiondoa kwa uzalishaji wa gharama ya juu wa umeme.
Inatarajia hii itasaidia kukata gharama za umeme kwa watumiaji huku Taifa ikiangalia vyanzo vingine na vya ufanisi zaidi vya nishati kama vile umeme na upepo.
Kusimamisha mikataba ya kampuni umeme kwa jumla ikiwa saba itagharimu serikali sh bilioni 67.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |