Meneja wa timu hiyo, Jurgen Klopp amemwagia sifa nyota huyo kwakusema kuwa hakuna klabu yoyote barani Ulaya ambayo haitaji aina ya mchezaji kama Sadio.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Senegal amefunga jumla ya mabao 40 kwenye michezo yake 89 aliyocheza Liverpool tangu aliposajiliwa akitokea Southampton kwa dau la pauni milioni 34 mwaka 2016.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |