mkopo wa fedha utapiga jeki Mradi wa Maendeleo ya Wajasiriamali wa Ethiopia (WEDP) ambao ulianza katika Pembe ya Afrika mwaka 2013.
Mnamo mwaka 2014 WEDP ilitoa mkopo wa dola milioni 22 kwa wajasiriamali wanawake.
Lengo la mradi ni kuongeza mapato na ajira ya makampuni madogo na ya kati inayomilikiwa na wajasiriamali wa kike.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |