• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Sekta ya kilimo ya kabiliwa na changamoto nyingi

    (GMT+08:00) 2018-11-26 20:01:21
    Licha ya kuwa nguzo kubwa ya uchumi wa nchi, sekta ya kilimo inaendelea kukabiliana na changamoto nyingi.

    Asilimia 26 sasa, kilimo huchangia zaidi ya robo ya Pato la Taifa.

    Hata hivyo, wakulima wameachwa kwa vifaa vyao wenyewe, na mgao wa bajeti katika sekta hiyo unabaki mdogo.

    Kilimo imekuwa ikipata chini ya asilimia mbili ya jumla ya bajeti, chini ya asilimia 10 iliyokubaliwa na marais wa Afrika zaidi ya miaka kumi iliyopita wakati wa Maputo declaration.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako