• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matumizi ya maendeleo ya chini huumiza uchumi

    (GMT+08:00) 2018-11-26 20:01:38
    Takwimu za hazina zinaonyesha jumla ya Sh bilioni 68.1 iliwekwa kwa miradi ya maendeleo kutoka Julai hadi Septemba, sawa na asilimia 25.95 ya sh bilioni 262.4 iliyotengwa kwa wizara na mashirika mengine ya serikali.

    Katibu Mkuu wa Hazina Kamau Thugge anasema katika Uchunguzi wa Uchumi na Bajeti ya robo ya kwanza ya mwaka (Julai-Septemba) ya mwaka huu unaoisha mwezi Juni 2019 kuwa matumizi ya maendeleo yalikuwa chini ya lengo la Hazina na Sh bilioni 101.2.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako