Kwa matokeo hayo, AS Vita sasa inatakiwa kwenda kushinda 4-0 nyumbani Desemba 2 katika uwanja wa Martyrs de la Pentecote mjini Kinshasa ili kupindua matokeo na kubeba taji hilo.
AS Vita iliifunga 4-0 Al - Masry ya Misri Oktoba 24 katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya michuano, lakini ikitoka kutoa sare ya 0-0 ugenini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |