Kamati ya ushindani ya La Liga imesema kwenye mchezo huo uliomalizika kwa klabu hizo kutoka sare ya 1-1.Barcelona walichelewa kuingia uwanjani kipindi cha pili, kwa upande wa Atletico mashabiki wao walianza kurusha chupa uwanjani, baada ya Dembele kufunga goli la kusawazisha dakika za mwisho za mchezo huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |