• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Maandamano kuhusu bei za mafuta yaathiri vibaya shughuli za kiuchumi Ufaransa

    (GMT+08:00) 2018-11-27 10:18:21

    Waziri wa uchumi wa Ufaransa Bw. Bruno Le Maire ameonya kuwa maandamano ya hivi karibuni dhidi ya mpango wa kuongeza kodi ya mafuta ya petroli na dizeli yana athari mbaya kwa shughuli za kiuchumi za nchi hiyo. Amesema bado ni mapema kusema kama maandamano hayo yaitwayo "fulana ya njano" yanaathiri ukuaji wa uchumi, lakini viongozi wote wa biashara wamesema athari kwa shughuli za kiuchumi ni kubwa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako