Rais Xi Jinping wa China leo ameondoka Beijing kwenda ziarani nchini Hispania, Argentina, Panama na Ureno, na pia kushiriki kwenye mkutano wa 13 wa kilele wa kundi la G20 mjini Buenos Aires, Argentina.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |