Waziri wa kilimo amekiri kwamba makosa yalifanyika miaka ya nyuma kwa kuchukulia kilimo kuwa kazi ya watu ambao hawana elimu nzuri. Hii ndio sababu kuu ya kukosa kupata tija kwenye kilimo kote nchini Tanzania. Baraza la Kilimo Tanzania kutoa mapendekezo ya kuwasaidia wakulima ili kuinua kilimo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |