Wakurugenzi wakuu wa huduma hizi za usafiri wamekiri kuwa wamepata malalamishi na kwamaba wameanza kuyashughulikia. Wasafiri wameombwa kuripoti visa vya ulaghai wa madereva wa Uber na Taxify ili madereva hao kuchukuliwa hatua. Visa hivi vimeripotiwa sana nchini Kenya na sasa vimepenyeza Tanzania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |