Juhudi za kutatua zimeambulia patupu. Kwa sasa, wahusika wakuu wa serikali wameombwa kuingilia kati swala hili, ambalo linatishia kuwapora wakenya 150,000 ajira zao. Ukosefu wa mbolea hii imeathiri sana idadi ya maua yanayosafirishwa kwenye mataifa ya nje.
Hata hivyo, serikali imenunua mbolea ambayo kwa sasa inafanyiwa vipimo na Shirika la ubora wa Viwango vya Bidhaa (KBS).
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |