• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ligi ya Mabingwa barani Ulaya: Mechi za makundi kadhaa zilipigwa jana

    (GMT+08:00) 2018-11-28 08:53:00

    Ligi ya mabingwa barani ulaya imeendelea jana kwa michezo kadhaa ya makundi, kundi E, AEK Athens imekubali kipigo cha bao 2-0 toka kwa Ajax. Nayo FC Bayern Munchen ikiifyatua Benfica kwa jumla ya mabao 5-1. Kundi F, Hoffenheim imefungwa 3-2 na Shakhtar Donetsk, huku Lyon ikiilazimisha Manchester City sare ya 2-2. CSKA Moscow imalala kwa goli 2-1 dhidi ya Victoria Plzen, huku Real Madrid ikiitungua AC Roma 2-0 katika michezo wa kundi G. matokeo ya kundi H, Juventus imeilaza Valencia kwa ushindi mdogo wa goli 1-0, nayo Manchester United imeifunga Young Boy goli 1-0.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako