Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab la Somalia wamewaachia huru Wakenya wawili waliowateka nyara wiki iliyopita kutoka kijiji kimoja katika kaunti ya Wajir, kaskazini mashariki mwa Kenya. Serikali imeimarisha usalama katika maeneo ya mpakani ili kuzuia tukio kama hilo lisitokee tena.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |