Kampuni hiyo ambayo imeorodheshwa kwenye soko la hisa la Nairobi imesema trilioni moja kati ya pesa hizo zitatoka kwa wafanya biashara binafsi na taasisi kama vile bima ya jamii.
Mkurungezi wa kampuni hiyo James Mworia amesema pesa hizo zitawekezwa kwenye biashara imara zenye kuleta mapato na pia kutoa mikopo kwa serikali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |