Utafiti huo umeonyesha kuwa ujenzi wa maduka kwenye nchi kama vile Misri, Morocco na Kenya umeongezeka kwa zaidi ya mara dufu ndani ya miaka 8.
Kulingana na utafiti huo ukuaji ujenzi wa maduka hayo umechangiwa na ueneaji wa miji, ongezeko la idadi ya watu na uwekezaji wa kimataifa.
Kwa jumla Afrika ina maduka makubwa ya kibiashara 579 mengi yakiwa nchini Misri, Kenya na Nigeria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |