Rais Donald Trump wa Marekani amesema kutokana na mvutano kati ya Russia na Ukraine, ameamua kufuta mkutano na mwenzake wa Russia Vladimir Putin, uliopangwa kufanyika nchini Argentina pembezoni mwa mkutano wa kilele wa kundi la G20. Hata hivyo saa chache kabla ya kupanda ndege ya kwenda Argentina, rais Trump alisema anatarajia sana kukutana na rais Putin.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |