• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Benki ya Dunia inatoa dola za kimarekani milioni 45 kuhimiza uhifadhi wa mazingira nchini Msumbiji

    (GMT+08:00) 2018-11-30 09:57:07

    Benki ya Dunia imetangaza kuwekeza dola za kimarekani milioni 45 katika kusimamia kwa ufanisi maeneo ya hifadhi nchini Msumbiji ili kuyafanya yavutie uwekezaji, na kuboresha maisha ya watu wanaoishi katika maeneo hayo. Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Msumbiji Bw. Mark Lundell amesema usimamizi endelevu wa raslimali ni muhimu katika kupunguza umaskini na kuhimiza ustawi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako