• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rais Xi Jinping wa China atoa mapendekezo manne kwenye mkutano wa kilele wa 13 wa G20

    (GMT+08:00) 2018-12-01 16:01:51

    Mkutano wa kilele wa 13 wa kundi la nchi 20 (G20) ulifanyika jana huko Buenos Aires nchini Argentina, ambapo Rais Xi Jinping ametoa hotuba muhimu na kutoa mapendekezo manne.

    Akitaja mapendekezo hayo rais Xi Jinping amelitaka kundi la nchi 20 lishikilie ushirikiano na kufungua mlango, na kulinda utaratibu wa biashara unaoshirikisha pande nyingi. Na pia amezitaka pande mbalimbali zishikilie moyo wa wenzi, na kuimarisha uratibu wa sera. Aidha Rais Xi pia amelitaka kundi la G20 lishikilie uvumbuzi na kutafuta nguvu mpya ya kuhimiza ongezeko la uchumi. Vilevile amelitaka kundi hilo lishikilie maendeleo ya pamoja, na kuhimiza maendeleo yanayonufaisha nchi nyingi, hasa kulinda maslahi ya nchi zinazoendelea.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako