Hadi dakika 90 za mchezo, timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana, na kuongezwa dakika 30 nazo zilimalizika huku hakuna timu iliyoweza kuona lango la mpinzani wake, ndipo uliwadia muda wa penalty, na Nigeria kuibuka na ushindi wa jumla ya penalti 4 huku Banyana Banyana ikiambulia penalti 3.
Cameroon wamenyakua ushindi wa 3 baada ya kuwafunga Mali katika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu uliopigwa Ijumaa Novemba 30.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |