Mabondia hao walienda hadi raundi ya 12 katika pambano hilo la kuwania ubingwa wa uzito wa juu wa WBC.
Alipohojiwa na waandishi wa habari, Fury alisema licha ya maamuzi wa majaji lakini dunia inatambua kuwa yeye ndio alishinda pambano hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |