Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametembelea maeneo mbalimbali yaliyoharibiwa pindi tu baada ya kurudi kutoka Argentina ili kutathmini uharibifu baada ya kundi la waandamanaji kushambulia na kuchoma moto majengo na magari na kuuingiza mji huo kwenye machafuko. Rais Macron pia ameitisha mkutano wa dharura na viongozi wa serikali kujadili machafuko na jinsi ya kushughulikia vuguvugu la jamii la "fulana ya njano".
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |