Rais wa kamati ya Olimpiki nchini humo bwana Juma Stephen Lugga ameeleza kuwa wanamichezo wengi wenye ulemavu katika nchi za Afrika mashariki hawapewi sapoti ya kutosha na kuachwa nyuma katika masuala ya michezo kutokana na ulemavu walionao.
Amesema kamati ya olimpiki ya Sudan Kusini imeanza kuchagua wanariadha watakaowakilisha nchi hiyo kwenye michuano hiyo mwakani.
Sudan kusini ilipata uanachama wa kamati ya olimpiki ya kimataifa (IOC) mwezi Agosti mwaka 2015.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |