Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Bibi Maria Espinosa amezindua kampeni ya kimataifa dhidi ya uchafuzi wa mazingira utokanao na plastiki. Kampeni hiyo ina kazi kuu mbili, kupunguza takataka za plastiki kwenye mfumo wa Umoja wa Mataifa, na kushirikiana na nchi wanachama na mashirika ya Umoja wa Mataifa katika kuongeza ufahamu wa umma kote duniani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |