Wakati Liverpool ikipata ushindi na kuendelea kuweka rekodi ya kutopoteza mchezo hata mmoja katika ligi msimu huu sawa na Manchester City, Chelsea fc wameambulia kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Wolves. Nao Everton wametoka sare na Newcastle huku Fulham nayo ikiilazimisha sare Leicester City, Manchester United yenyewe nayo imeenda sare ya 2-2 na Arsenal huku Tottenham Hotspur kuipa kichapo cha 3-1 Southampton
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |