Mapambano yameendelea kati ya pande mbili hasimu za vikosi vinavyoiunga mkono serikali na waasi wa Houthi nchini Yemen, licha ya mazungumzo yaliyopatanishwa na Umoja wa Mataifa kuanza nchini Sweden jana. Zaidi ya waasi 10 wa Houthi na askari watatu wanaoitii serikali inayoungwa mkono na Saudi Arabia waliuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |