Kocha mkuu wa timu ya taifa ya ya mpiwa wa kikapu ya wanawake ya Zanzibar Kombo Ali Kombo amesema timu yake imeanza maandalizi ya mashindano hayo na anatarajia kufanya vizuri katika mashindano yatakayojumuisha timu kutpka Rwanda ambao ni wenyeji, Tanzania, Zanzibar, Kenya, Uganda, Burundi, DRC na Sudan Kusini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |