Mashindano hayo ni ya 14 yatafanyika kwenye bwawa la kuogelea la mita 25 ambalo ni la kisasa zaidi limejengwa na kampuni ya Italia ya Myrtha Pools na linauwezo wa kuhamishika.
Kabla kuanza mashinando hayo kutakuwa na mkutano mkuu wa shirikisho la mchezo wa kuogelea duniani (FINA) na kozi ya makocha. Timu mbalimbali za waogeleaji duniani zitashiriki mashindano hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |