Rais Petro Poroshenko wa Ukraine amesaini sheria ya kukomesha Mkataba wa Urafiki, Ushirikiano na Uhusiano wa Kiwenzi kati ya nchi yake na Russia. Mkataba huo ambao umedumu kwa miongo miwili utamalizika tarehe mosi, Aprili mwakani, kutokana na kuongezeka kwa mivutano kati ya nchi hizo mbili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |