Waandamanaji wasiopungua 32 wamejeruhiwa katika mapambano yaliyotokea jana kati yao na askari wa Israel wanaolinda mpaka kati ya eneo la kaskazini la Ukanda wa Gaza na Israel. Kila Jumatatu, waandamanaji wa Palestina wanakusanyika katika eneo la mpaka na Israel wakiitaka Israel kukomesha kuzingira eneo hilo la pwani, ambako kumedumu kwa miaka 12.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |