Wakulima nchini Kenya watanunua mbolea kwa bei iliopunguzwa kupitia kwa halamshauri ya nafaka nchini humo
Serikali itatoa vocha kwa wakulima ambazo watawasilisha kwa halmashauri hiyo kabla ya kupata mbolea.
Katibu wa kudumu kwenye wizara ya kilimo Hamadi Boga amesema kila eneo litapokea mbolea inayoendana na mahitaji ya wakulima na udongo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |