• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya: Mradi wa kusafisha maji kuanza Mombasa

    (GMT+08:00) 2018-12-13 19:22:13

    Serikali ya kaunti ya Mombasa nchini Kenya inatenga shilingi bilioni 1.6 za mradi wa kusafisha maji ya bahari kwa matumizi ya nyumbani.

    Gavana wa kaunti hiyo Hassan Joho amesema mradi huo utakamilika mwaka 2021.

    Mradi huo utatekelezwa na kampuni ya Hipania ya Almar Water Solutions.

    Mitambo kwenye mradi huo itasafisha mita 100,000 za ujazo kila siku na kusambaza maji kwa zaidi ya watu milioni 1.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako