Watu wanane wameuawa na wengine 22 kujeruhiwa baada ya basi lililotekwa nyara kuwaparamia waenda kwa miguu barabarani mkoani Fujian, mashariki mwa China. Majeruhi wamepelekwa hospitalini, mmoja wao akiwa mahututi. Polisi wamemkamata mtuhumiwa ambaye ametambuliwa kuwa ni mwanamume mwenye umri wa miaka 48, asiye na ajira.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |