Maadhimisho ya miaka 40 tangu China itoe "Taarifa kwa Ndugu wa Taiwan" yamefanyika hapa Beijing. Rais Xi Jinping wa China ametoa hotuba kuhusu "kufanya juhudi za pamoja kwa ajili ya kutimiza ustawi wa taifa, na kuhimiza umoja kwa njia ya amani".
Wajumbe karibu 600 kutoka Chama cha Kikomunisti cha China, serikali, vyama mbalimbali vya kidemokrasia, shirikisho la viwanda na biashara, Taiwan, na majeshi wamehudhuria maadhimisho hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |