Wadau wa sekta ya ujenzi wa nyumba nchini Kenya wameitaka serikali kutenga asilimia 60 ya kandarasi za kujenga nyumba za bei nafuu kwao.
Mkurungezi wa Chama cha Usanifu nchini Kenya Emma Miloyo amesema hatua hiyo itasaidia kufungua nafasi za ajira na pia kuongeza mahitaji ya mali ghafi za ujeni za ndani ya nchi.
Mwaka 2017 rais Uhuru Kenyatta alitangaza ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwenye maeneo ya mijini kama mojawepo wa ajenda zake kuu nne.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |