Ligi hiyo itakua inachezwa kwenye uwanja wa Coco Beach uliopo Oysterbay Jijini Dar es Salaam kila Jumamosi na Jumapili kuanzia saa 8 mchana mpaka 12 jioni.
Taarifa ya afisa habari na mawasiliano wa TFF, Clifford Mario Ndimbo imesema kuelekea kwenye ligi hiyo shirikisho hilo limeanza kusajili klabu zenye sifa na vigezo kwa ajili ya kushiriki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |