Mechi nyingine ilipigwa jana kati ya Simba SC na KMKM, bao pekee la chipukizi Rashid Juma limeipa Simba ushindi wa 1-0 katika mchezo huo wa kundi A jana usiku uwanja wa Amani.
Kikosi cha kwanza cha Simba kinarejea jijini Dar es salaam leo kujiandaa na michuano nya klabu bingwa Afrika dhidi ya JS Saouara ya Algeria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |