Rais wa Shirikisho la soka nchini Kenya (FKF) Nick Mwendwa ameapa kuichukulia hatua kali AFC Leopards ambao pia walikuwa mwenyeji wa mechi hiyo akieleza kuwa vurugu na ukosefu wa maadili katika soka nchini humo ni suala ambalo limepitwa na wakati na halikubaliki kamwe.
Mashabiki wa Ingwe walijitosa uwanjani baada ya kipenga cha mwisho kupigwa na kuanza kumshambulia mwamuzi huyo wakilalamikia bao la dakika za lala salama lililowekwa kimiani na Nzoia Sugar.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |