• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya Mikopo ya sekta binafsi yatarajiwa kushuka zaidi

    (GMT+08:00) 2019-01-08 20:23:25
    Ukopeji wa Serikali unatarajiwa kuongezeka katika miezi sita mwisho wa mwaka wa fedha 2018/19 kwa sababu wakopaji wamehama na kuanza kukukopesha serikali.

    Hii itaathiri vibaya ukuaji wa mikopo katika sekta binafsi, hadi chini ya asilimia 4.15 kama benki wanapendelea dhamana ndogo za hatari.

    Upungufu huo utaona pia fedha kidogo kwa makampuni madogo na sekta nyingine muhimu.

    Lengo la kukopa kwa mwaka 2018/19 lilikuwa Sh trilioni 0.6 lakini serikali imekuwa nyuma ya malengo na Sh bilioni 20 kati ya Julai na Septemba 2018.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako