Kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni kutoka Wizara ya Utalii na Wanyamapori, mapato yalifikia Sh bilioni 157.38 mwaka 2018 kutoka Sh bilioni 119.0 mwaka uliopita, na sekta hiyo iliandikisha ukuaji wa asilimia 68 ya uingiaji wa wageni.
Watalii wa kimataifa waliongezeka hadi milioni 2.025 kutoka milioni 1.46 mwaka wa 2017.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |