Kufungwa huko kwa Liverpool kumeifanya kutolewa katika michuano hiyo kwa kipigo cha jumla ya goli 2-1 licha ya kuwa ugenini.
Ikumbukwe kwamba Liverpool sasa hivi inashiriki katika michuano miwili tu ikiwa michuano ya klabu bingwa barani Ulaya UEFA na Ligi kuu nchini kwa PL baada ya kutolewa kwenye michuano mingine inayofanyika hapo inayojulikana kama Carabao cup.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |