Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed na Rais wa Eritrea Isaias Afwerki wameshiriki pamoja ufunguzi wa mpaka huo.
Ufunguaji upya wa mpka huo ambao ulifungwa miaka ishirini iliopita kufuatia mzozo wan chi hizo ni hatua mpya ya kuendelea kurejesha uhusiano kati ya Asmara na Addis Ababa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |