Mjumbe maalumu wa rais wa China Bw. Yang Jiechi atafanya ziara nchini Falme za Kiarabu (UAE), Misri, Guinea Ikweta na Cameroon.
Bw. Wang pia atahudhuria shughuli husika za mkutano wa kilele wa nishati za siku zijazo duniani utakaofanyika nchini UAE, kuanzia tarehe 13 hadi tarehe 19 mwezi huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |