Tumwesigye amewaambia waandishi wa habari kuwa serikali itaanza kufanyia majaribio mabasi hayo mwaka huu na kwamba serikali iko tayari kutoka shilingi bilioni 143 kusaidia utengenezaji wa magari nchini humo.
Mwaka 2014 mamlaka ya uwekezaji ya Uganda ilitoa kandarasi kwa kampuni mbili - Kiira Motorinayomilikiwa na chuo kikuu cha Makerere na China Engineering kuanza uzalishaji wa magari mwaka 2018.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |