Azam FC wameendeleza ubabe na kunyakua ubingwa wa Muungano mara tatu mfululizo na hivyo kuchukua kombe hilo moja kwa moja.
Mchezo wa jana ulikuwa mkali licha ya Simba kutumia kikosi chake cha pili, hadi kipenga cha mwisho, Azam wametoka kifua mbele kwa ushindi wa magoli 2-1.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |